JPM HAKUNA MCHANGA UTAKAOSAFISHWA NJE YA NCHI TOKA MIGODINI


RAIS John Pombe Magufuli Amesema hakuna mchanga wowote wa madini kwenda nje ya nchini 
Moja wa mgodi wa Dhahabu huliopo wilayani kahama wa Buzwagi kati ya migodi inayosafirisha mchanga nje ya nchi ambapo Rais magufuli amepinga Marufu kusafirisha mchanga huo 
Mitambo ya kuchimba dhahabu katika mgodi wa buzwagi ambapo uchimbwa kwa dhahabu hiyo na baadhi ya mchanga wenye madini kusafirishwa nje ya nchi kwa utalamu zaidi 
Moja ya Dapa la kubeba mawe ya dhahabu na madini mengine baada ya kuchambuliwa katika mgodi huu uliopo wilayani kahama 
Eneo moja wapo la shimo la mchanga wa dhahabu 
Moja ya Madapa Makubwa yakiwa katika hatua ya kupakia mchanga au mawe yenye dhahabu katika mgodi wa dhahabu 
Dapa kubwa linyeuwezo wa kupakia tani 200 za mawe ya dhahabu katika mgodi wa dhahabu wilayani kahama 
Baadhi ya Maroli yakiwa yamembeba Makotena ya mchanga wa madini mengine toka mgodi wa dhahabu wa buzwagi Acaci yakiwa yanaelekea jiji dar kwa kusafirisha nje ya nchi
baadhi ya maroli ya mchanga toka mgodi wa buzwagi kuelekea jiji dar kwa kupelekwa nje ya nchini. 


MOHAB MATUKIO

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.