RAIS John Pombe Magufuli Amesema hakuna mchanga wowote wa madini kwenda nje ya nchini
Moja wa mgodi wa Dhahabu huliopo wilayani kahama wa Buzwagi kati ya migodi inayosafirisha mchanga nje ya nchi ambapo Rais magufuli amepinga Marufu kusafirisha mchanga huo
Mitambo ya kuchimba dhahabu katika mgodi wa buzwagi ambapo uchimbwa kwa dhahabu hiyo na baadhi ya mchanga wenye madini kusafirishwa nje ya nchi kwa utalamu zaidi
Moja ya Dapa la kubeba mawe ya dhahabu na madini mengine baada ya kuchambuliwa katika mgodi huu uliopo wilayani kahama
Eneo moja wapo la shimo la mchanga wa dhahabu
Moja ya Madapa Makubwa yakiwa katika hatua ya kupakia mchanga au mawe yenye dhahabu katika mgodi wa dhahabu
Dapa kubwa linyeuwezo wa kupakia tani 200 za mawe ya dhahabu katika mgodi wa dhahabu wilayani kahama
Baadhi ya Maroli yakiwa yamembeba Makotena ya mchanga wa madini mengine toka mgodi wa dhahabu wa buzwagi Acaci yakiwa yanaelekea jiji dar kwa kusafirisha nje ya nchi
baadhi ya maroli ya mchanga toka mgodi wa buzwagi kuelekea jiji dar kwa kupelekwa nje ya nchini.
MOHAB MATUKIO
Comments