JAMHURI
YA MUUNGANO WA TANZANIA
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU
Simu:
255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Faksi: 255-22-2113425
|
OFISI YA RAIS,
IKULU,
1 BARABARA YA BARACK
OBAMA,
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
|
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 10
Septemba, 2016 amemteua Bw. Eliya
Mtinangi Ntandu kuwa Katibu
Tawala wa Mkoa wa Songwe.
Taarifa
iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa nafasi ya
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe ilikuwa wazi na uteuzi huu umeanza leo.
Bw. Eliya Mtinangi Ntandu
pamoja na Makatibu Tawala walioteuliwa jana tarehe 09 Septemba, 2016 ambao ni
Ado Steven Mapunda aliyeteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara na Bw. Tixon
Tuliangine Nzunda aliyeteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
wa Rukwa wataapishwa katika tarehe itakayotangazwa baadaye.
Wakati huo huo, Rais
Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri za
Wilaya 11, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji 1 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya
Manispaa 1 ili kujaza nafasi zilizokuwa wazi katika Halmashauri hizo.
Wakurugenzi
walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
1.
Godwin Emmanuel
Kunambi - Manispaa ya Dodoma
2.
Elias R.
Ntiruhungwa - Mji wa Tarime
3.
Mwantumu Dau - Halmashauri ya Wilaya ya
Bukoba
4.
Frank Bahati - Halmashauri ya
Wilaya ya Ukerewe
5.
Hudson Stanley
Kamoga - Halmashauri ya Wilaya ya
Mbulu
6.
Mwailwa Smith
Pangani - Halmashauri ya Wilaya ya
Nsimbo
7.
Godfrey Sanga - Halmashauri ya Wilaya
ya Mkalama baadaye.
Wakati huo huo, Rais
Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri za
Wilaya 11, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji 1 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya
Manispaa 1 ili kujaza nafasi zilizokuwa wazi katika Halmashauri hizo.
Wakurugenzi
walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
1.
Godwin Emmanuel
Kunambi - Manispaa ya Dodoma
2.
Elias R.
Ntiruhungwa - Mji wa Tarime
3.
Mwantumu Dau - Halmashauri ya Wilaya ya
Bukoba
4.
Frank Bahati - Halmashauri ya
Wilaya ya Ukerewe
5.
Hudson Stanley
Kamoga - Halmashauri ya Wilaya ya
Mbulu
6.
Mwailwa Smith
Pangani - Halmashauri ya Wilaya ya
Nsimbo
7.
Godfrey Sanga - Halmashauri ya Wilaya
ya Mkalama
8.
Yusuf Daudi
Semuguruka - Halmashauri ya Wilaya ya
Ulanga
9.
Bakari Kasinyo
Mohamed - Halmashauri ya Wilaya ya
Nachingwea
10. Juma Ally Mnwele - Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo
11. Butamo Nuru Ndalahwa - Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
12. Waziri Mourice -
Halmashauri ya Wilaya ya Karatu
13. Fatma Omar Latu - Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo
Wakurugenzi
wa halmashauri wote 13 walioteuliwa wanatakiwa kuripoti Ofisi ya Rais Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mkoani Dodoma siku ya Jumanne tarehe 13
Septemba, 2016 kwa ajili ya kupata maelekezo zaidi.
Gerson
Msigwa
Mkurugenzi
wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Comments