Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa nchini (TAKUKURU), Valentino Mlowola (kulia) akipokea Bango la Mahakama ya Tanzania kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi Utawala wa Mahakama ya Tanzania, Wanyenda Kutta. Kushoto ni Afisa Utumishi, Mahakama ya Tanzania, Mwajuma Suru. Makabidhiano hayo yamefanyika leo kwenye ofisi za Makao Makuu ya TAKUKURU.
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa nchini (TAKUKURU), Valentino Mlowola (kulia) akizungumza jambo na Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala wa Mahakama ya Tanzania, Wanyenda Kutta, kabla ya Makabidhiano hayo kufanyika leo kwenye ofisi za Makao Makuu ya TAKUKURU. PICHA NA MAHAKAMA YA TANZANIA
Comments