SIMU.tv: Waziri wa afya Ummy Mwalimu ametoa wito kwa mashirika binafsi nchini kutojihusisha na masuala ya kisiasa;http://simu.tv/yvbYf0j
SIMU.tv: Waziri mkuu Kassim Majaliwa awataka wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza mkoani Dodoma;https://youtu.be/nXRL4rPf8dk
SIMU.tv: Wafanyakazi wa taasisi za umma wametakiwa kuwa na tabia ya kupima afya zao ili kujua hali za afya zao;https://youtu.be/8_RWYaeQWf4
SIMU.tv: Mkoa wa Dar es Salaam wabaini kaya masikini hewa 609 katika mpango wa kunusuru kaya masikini unaotekelezwa na TASAF;https://youtu.be/jNJrffaeiNw
SIMU.tv: Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa watano wa ujambazi; https://youtu.be/62XMXAkXwXc
SIMU.tv: Zaidi ya watanzania 4000 watanufaika na ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga Tanzania;https://youtu.be/7bSWNQlkZWM
SIMU.tv: Wakuu wa majeshi ya polisi kusini mwa bara la Afrika kuhakikisha wanakabiliana na vitendo vya kihalifu mipakani;https://youtu.be/KrHIV3LR6og
SIMU.tv: Waziri mkuu Kassim Majaliwa apokea msaada wa kiasi cha shilingi mlioni 121 kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera ;https://youtu.be/4a5uN5Y4jqs
SIMU.tv: Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA yaifunguia radio five ya jijini Arusha kwa muda wa miezi mitatu;https://youtu.be/as3TOD1ukgU
SIMU.tv: Mahakama ya Rufaa Tanzania yamhukumu kunyongwa hadi kufa aliyekuwa mkuu wa upelelezi wa jeshi la polisi wilaya ya Kinondoni, Christopher Bageni kwa tuhuma za mauji ya wafanyabishara watatu na dereva teksi; https://youtu.be/ZlfiZj1blcI
SIMU.tv: Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wametoa maoni yao kuhusu mwenendo wa serikali ya awamu ya tano;https://youtu.be/U4ppx4zJpYc
SIMU.tv: Zaidi ya shilingi bilioni 1 zimepatikana katika harambee iliyolenga kukusanya pesa kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera; https://youtu.be/VUxNklhrk-k
Comments