Mkuu wa wilaya ya Kusini Unguja na ujumbe wake katikati ya mji wa Sundsvall
Mhe Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, Idrissa Kitwana akipata maelezo ya Maktaba ya Manispaliti ya Sundsvall kutoka kwa Bi. Christin StrΓΆmberg.
Mhe mwakilishi wa Mwanakwerekwe ndugu Abdalla Ali Kombo, miongoni mwa waasisi wa uhusiano Kati ya Sundsvall Manispaliti na wadi ya Makunduchi, akiangalia mashine inayotumika kuingiza chaji kwa gari zinazotumia umeme ili kulinda mazingira yasichafuliwe na gesi chafu inayotokana na utumizi wa mafuta
Comments