Mkuu wa Wilaya ya kusini Unguja aendela na ziara yake mji wa Sundsvall nchini Sweden


Mkuu wa wilaya ya Kusini Unguja na ujumbe wake katikati ya mji wa Sundsvall
Mhe Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, Idrissa Kitwana akipata maelezo ya Maktaba ya Manispaliti ya Sundsvall kutoka kwa Bi. Christin StrΓΆmberg.
Mhe mwakilishi wa Mwanakwerekwe ndugu Abdalla Ali Kombo, miongoni mwa waasisi wa uhusiano Kati ya Sundsvall Manispaliti na wadi ya Makunduchi, akiangalia mashine inayotumika kuingiza chaji kwa gari zinazotumia umeme ili kulinda mazingira yasichafuliwe na gesi chafu inayotokana na utumizi wa mafuta

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.