Rais wa DRC CONGO, Joseph Kabila akiwaaga watanzania alipokuwa akiondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam, baada ya kumaliza ziara ya siku tatu nchini. Uwanja wa Ndege aliagwa na Rais John Magufuli pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na viongonzi wengin. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
Ndege alyopanda ikipaa
Kikundi cha Mount Usambara kikitumbuiza kwa matarumbeta wakati wa kumuaga Rais Kabila
Viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiwa katika hafla kumuaga Rais Kabila
Rais Joseph Kabila wa DRC Congo na mwenyeji wake, Rais John Magufuli wakiangalia ngoma iliyokuwa inatumbuizwa na Kikundi cha Sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), alipokuwa anaondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, kurejea nchini kwake baada ya kumaliza ziara ya siku tatu nchini
Rais Magufuli na Rais Kabila wakipigiwa wimbo wa Taifa
Wananchi wakishangilia wakati wa kumuaga Rais Kabila
Viongozi wakiondoka baada ya Rais Kabila kuondoka
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akiagana na Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange
Ndege alyopanda ikipaa
Kikundi cha Mount Usambara kikitumbuiza kwa matarumbeta wakati wa kumuaga Rais Kabila
Viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiwa katika hafla kumuaga Rais Kabila
Rais Joseph Kabila wa DRC Congo na mwenyeji wake, Rais John Magufuli wakiangalia ngoma iliyokuwa inatumbuizwa na Kikundi cha Sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), alipokuwa anaondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, kurejea nchini kwake baada ya kumaliza ziara ya siku tatu nchini
Rais Magufuli na Rais Kabila wakipigiwa wimbo wa Taifa
Wananchi wakishangilia wakati wa kumuaga Rais Kabila
Viongozi wakiondoka baada ya Rais Kabila kuondoka
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akiagana na Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange
Comments