RAIS KABILA AMALIZA ZIARA AREJEA KWAO LEO

 Rais wa DRC CONGO, Joseph Kabila akiwaaga watanzania alipokuwa akiondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam, baada ya kumaliza ziara ya siku tatu nchini. Uwanja wa Ndege aliagwa na Rais John Magufuli pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na viongonzi wengin. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
 Ndege alyopanda ikipaa
 Kikundi cha Mount Usambara kikitumbuiza kwa matarumbeta wakati wa kumuaga Rais Kabila
 Viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiwa katika hafla kumuaga Rais Kabila
 Rais Joseph Kabila wa DRC Congo na mwenyeji wake, Rais John Magufuli wakiangalia ngoma iliyokuwa inatumbuizwa na Kikundi cha Sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), alipokuwa anaondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, kurejea nchini kwake baada ya kumaliza ziara ya siku tatu nchini

 Rais Magufuli na Rais Kabila wakipigiwa wimbo wa Taifa
 Wananchi wakishangilia wakati wa kumuaga Rais Kabila
 Viongozi wakiondoka baada ya Rais Kabila kuondoka
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akiagana na Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.