Wahitimu
wa Kidato cha Nne katika Skuli ya Feza Zanzibar (Private) ya Chukwani
Wilaya ya Magharibi Unguja wakiwa katika mahfali wanafunzi wa Kidato cha
4,6 na 7 iliyofanyika juzi,ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Elimu
na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma,
Wanafunzi
wa Darasa la Sita na Saba katika Skuli ya Feza Zanzibar (Private)
wakiimba wimbo maalum wakati wa Mahafali ya wanafunzi wa Kidato cha 4 ,6
na 7 Mwaka 2016 iliyofanyika katika Skuli hiyo iliyopo Chukwani Wilaya
ya Magharibi juzi.
Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma akimpongeza Mtoto wa
darasa la 5 Zahra Zahir aliyesoma Utenzi katika sherehe za Mahfali ya
Skuli ya Feza Zanzibar (Private) kwa wanafunzi wa Kidato cha 4,6 na 7
mwaka 2016,iliyofanyika juzi Skulini hapo Chukwani Wilaya ya Magharibi.
Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma akimpongeza Mtoto wa
darasa la 4 Latifah Mohamed Abdulrahman aliyeimba Wimbo wa Kizungu
(ENGLISH SONG) katika sherehe za Mahfali ya Skuli ya Feza Zanzibar
(Private) kwa wanafunzi wa Kidato cha 4,6 na 7 mwaka 2016,iliyofanyika
juzi Skulini hapo Chukwani Wilaya ya Magharibi.
Baadhi
ya Wahitimu wa darasa la Sita katika Feza Zanzibar (Private) wakiwa
katika sherehe za Mahfali ya Skuli ya Feza Zanzibar (Private) kwa
wanafunzi wa Kidato cha 4,6 na 7 mwaka 2016,iliyofanyika juzi Skulini
hapo Chukwani Wilaya ya Magharibi.
Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma alipokuwa akitoa
hutuba yake wakati wa sherehe za Mahfali ya Skuli ya Feza Zanzibar
(Private) kwa wanafunzi wa Kidato cha 4,6 na 7 mwaka 2016,iliyofanyika
juzi Skulini hapo Chukwani Wilaya ya Magharibi.
Baadhi
ya waalimu waliopewa zawadi katika sherehe za Mahfali ya Skuli ya Feza
Zanzibar (Private) kwa wanafunzi wa Kidato cha 4,6 na 7 mwaka
2016,iliyofanyika juzi Skulini hapo Chukwani Wilaya ya Magharibi,ambapo
mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe
Juma.
Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma (wa pili kulia)
akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi wa Darasa la saba katika sherehe za
Mahfali ya Skuli ya Feza Zanzibar (Private) kwa wanafunzi wa Kidato
cha 4,6 na 7 mwaka 2016,iliyofanyika juzi Skulini hapo Chukwani Wilaya
ya Magharibi,(kulia) Mwalimu Mkuu Ally Yussuf Nungu.
Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma (kushoto)
akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi wa Kidato cha Nne katika sherehe za
Mahfali ya Skuli ya Feza Zanzibar (Private) kwa wanafunzi wa Kidato
cha 4,6 na 7 mwaka 2016,iliyofanyika juzi Skulini hapo Chukwani Wilaya
ya Magharibi,(katikati) Mwalimu Mkuu Ally Yussuf Nungu.
Comments