Mkuu
wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Prof. Zakaria Mganilwa akitoa taarifa
ya utendaji wa chuo hicho kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa
Makame Mbarawa katika uzinduzi wa Baraza la Chuo hicho, jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti
mpya wa Baraza la Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Profesa Bavon Nchomba
akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame
Mbarawa katika uzinduzi wa Baraza la Chuo hicho, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizungumza na wajumbe wa Baraza la Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), katika uzinduzi wa Baraza jipya la Chuo hicho, jijini Dar es Salaam
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizungumza na wajumbe wa Baraza la Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), katika uzinduzi wa Baraza jipya la Chuo hicho, jijini Dar es Salaam
Wafanyakazi
wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji
(NIT), wakisikiliza hotuba ya Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa
Makame Mbarawa katika uzinduzi wa Baraza jipya la Chuo hicho, jijini Dar es
Salaam.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Comments