Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waganga na Wauguzi wa hospitali
ya mkoa wa Arusha ya Mount Meru wakati al;ipoitembelea Desemba 4, 2016.
Mmoja
wa wauguzi katika hospitali ya mkoa wa Arusha ya Mount Meru akideki
katika wodi ya wazazi wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipotembela
wodi hiyo akiwa katika ziara ya mkoa wa Arusha Desemba 4, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwafariji wanawake waliolazwa kwenye wodi ya
wazazi katika hospitali ya mkoa wa Arusha ya Mount Meru wakati
alipotembelea wodi hiyo na kukuta wakiwa wamelala watatu kwenye kitanda
kimoja Desemba 4, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akielekea kwenye wodi ya wazazi katika hospitali
ya mkoa wa Arusha ya Mount Meru wakati a;lipoitembelea Desemba 4, 2016.
Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa wilaya ya Monduli
baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya Mkuu wa wilaya hiyo kuanza ziara ya
siku moja ya kazi wilayani humo Desemba 4, 2016.
Waziri
Mkuu, Kasssim Majaliwa akiwapungia wananchi wa Monduli baada ya
kuwasili kwenye Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Monduli kuanza ziara ya kazi
wilayani humo Desemba 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Comments