Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akimuapisha Mhe.Jaji Prof.Ibrahim Hamis Juma kuwa Kaimu
Jaji Mkuu wa Tanzania, leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi
hati ya kiapo Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.Jaji Prof.Ibrahim Hamis Juma
alipomuapisha leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Kaimu
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.Jaji Prof.Ibrahim Hamis Juma akisaini hati ya kiapo
mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini hati ya
kiapo mara baada ya kumuapisha Mhe.Jaji Prof.Ibrahim Hamis Juma kuwa Kaimu Jaji
Mkuu wa Tanzania.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa Hafla ya kumuapisha Kaimu Jaji
Mkuu wa Tanzania Mhe.Jaji Prof.Ibrahim Hamis Juma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania
Mhe.Jaji Prof.Ibrahim Hamis Juma alipomuapisha leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais
Samia Suluhu Hassan wakiwa katika picha ya pamoja na Jaji Mkuu Mstaafu Othmani
Chande (kulia) na Kaimu Jaji Mkuu wa
Tanzania Mhe.Jaji Prof.Ibrahim Hamis Juma
PICHA
NA HASSAN SILAYO-MAELEZO
Comments