Preview YouTube video Wananchi Walalamikia Mipaka Ya Hifadhi
Preview YouTube video Wavuvi Walia Kuchomewa Vifaa Vyao Morogoro
Preview YouTube video Tanzania Yashauriwa Kuwekeza Katika Sayansi Tehama Na Hisabati
Preview YouTube video Uhaba Wa Vituo Vya Afya Chanzo Cha Vifo Kwa Akina Mama Na Watoto
Preview YouTube video Mhanga Wa Ukatili Wa Kijinsia Alishukuru Shirika La Kivulini
Preview YouTube video Mashindano Ya Kuadhimisha Miaka Kumi Uwanja Wa Gofu Lugalo
Preview YouTube video Yanga Kuivaa Azam Kombe La Mapinduzi Leo
Preview YouTube video Wanawake Watakiwa Kujitokeza Kushiriki Michezo
Preview YouTube video BMT Lamuita Cheka Mezani Kwa Mazungumzo
Preview YouTube video Wanne Watumbuliwa Mbeya
Preview YouTube video Wananchi Magazo Wapata Huduma Ya Maji
Preview YouTube video Jengo La Mbowe Lavunjwa Na NHC
Preview YouTube video Mwakibinga Amuomba Radhi Dr Nchimbi
Preview YouTube video Bei Za Mazao Kusambazwa Kwa Njia Ya Tehama
Preview YouTube video Waliovamia Shamba Watakiwa Kutopanda Mazao Yakudumu
Preview YouTube video Uhamasishaji Wa Wanawake Kushiriki Katika Michezo
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments