Chelsea waitandika Wolves mabao 2-0


Pedro alifunga bao lake la nne la FA msimu huuHaki miliki ya pichaAP
Image captionPedro alifunga bao lake la nne la FA msimu huu
Viongozi wa ligi kuu wa Primia Chelsea wamefika robo fainali ya kombe la FA baada ya kuwashinda Wolves mabao 2-0 katika mechi ya kusisimua iliyoandaliwa kwenye uwanja wa Molineux.
Wolves walionyesha mchezo mzuri na kuishambulia ngome ya Chelsea mara kwa mara kabla ya wageni kuamka na kuwasukuma wenyeji nyuma.
Fabregas alikuwa mchangamfu na alichangia pakubwa mashambulizi ya ChelseaHaki miliki ya pichaREX FEATURES
Image captionFabregas alikuwa mchangamfu na alichangia pakubwa mashambulizi ya Chelsea
Diego Costa aliifungua Chesea bao la pili na kufikisha jumla ya mabao 16 msimu huu.
Chelsea ambao wamefungu mwanya wa pointi 8 wakiwa kileleni mwa jedwali, walikumbana na shinikizo kali kutoka kwa Burnely walipotoka sare ya bao 1-1 wiki iliyipiya.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.