Waziri mkuu wa Zamani na Mjumbe wa kamati Kuu ya chadema Edward Lowassa leo atakuwa miongoni mwa maelfu ya washabiki watakaoudhuria pambano la watani wa jadi Simba na Yanga kwenye dimba la Taifa jijini dars es salaam.
"Kesho(leo) na kwenda uwanjani,usitake kujua mimi ni mshabiki wa timu gani,subiri utaniona uwanjani" amesema Lowassa ambaye hajawai kuweka wazi ni mshabiki wa timu gani, zaidi ya kusema anaipenda Manchester United.
Lowassa amesema kinachomsukuma zaidi kwenda uwanjani ni kuungana na Wada's Wa soka nchini kutaka kuiona ligi ya mpira tanzania inakuwa na msisimko Kama ile wa ligi za nje.
"nasikitika napoona watu tunazipenda sana timu za nje..Yale mahaba ya zamani kwa timu zetu yako wapi?michezo hususan mpira ni eneo pana sana la ajira kwa vijana wetu" alisema Lowassa ambaye alikuwa mchezaji mazuri wa mpira wa kikapu hapo zamani.
Mwisho
"Kesho(leo) na kwenda uwanjani,usitake kujua mimi ni mshabiki wa timu gani,subiri utaniona uwanjani" amesema Lowassa ambaye hajawai kuweka wazi ni mshabiki wa timu gani, zaidi ya kusema anaipenda Manchester United.
Lowassa amesema kinachomsukuma zaidi kwenda uwanjani ni kuungana na Wada's Wa soka nchini kutaka kuiona ligi ya mpira tanzania inakuwa na msisimko Kama ile wa ligi za nje.
"nasikitika napoona watu tunazipenda sana timu za nje..Yale mahaba ya zamani kwa timu zetu yako wapi?michezo hususan mpira ni eneo pana sana la ajira kwa vijana wetu" alisema Lowassa ambaye alikuwa mchezaji mazuri wa mpira wa kikapu hapo zamani.
Mwisho
Comments