Kutoka kwenye usiku wa Malkia wa Nguvu Dar es salaam

March 24 Clouds MEDIA imewakutanisha wakazi wa Dar es Salaam kwenye kilele cha kampeni ya Malkia wa Nguvu show ambayo ililetwa duniani ili kuongezea nguvu juhudi zote za Wanawake wanaopambana kwenye kila hatua.
Usiku huu ulisimamiwa kiburudani na Mastaa mbalimbali kutoka Bongoflevani akiwemo Joh Makini, Nikki wa Pili, Nandy, Shilole, Baraka De Prince, Msami, Bill Nas, Dayna Nyange, Chege na wengine.
.Shilole
.Country Boy (kushoto) na Bill Nas wakitoa burudani ya nguvu
.Country Boy
Bill Nas
Mwimbaji Nandy
Madee
Nikki wa Pili
Joh Makini
.G Nako
.Msami akitoa burudani ya nguvu
.Belle 9 akitoa burudani ya nguvu kwenye usiku wa Malkia wa Nguvu
.
.
.
.
.
.Madee akiwa na team nzima kutoka Clouds Media Group
.Dj Zero (kushoto) akiwa na Julio
Mtangazaji Mami Baby na Dj Senyorita
.Dayna Nyange akiwa na Chege kwenye usiku wa Malkia wa Nguvu
.
.
.Madee  akiwa na Dj Zero wa XXL ya Clouds FM

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.