March 24 Clouds MEDIA imewakutanisha wakazi wa
Dar es Salaam kwenye kilele cha kampeni ya Malkia wa Nguvu show ambayo
ililetwa duniani ili kuongezea nguvu juhudi zote za Wanawake
wanaopambana kwenye kila hatua.
Usiku huu ulisimamiwa kiburudani na Mastaa mbalimbali kutoka Bongoflevani akiwemo
Joh Makini, Nikki wa Pili, Nandy, Shilole, Baraka De Prince, Msami, Bill Nas, Dayna Nyange, Chege na wengine.
.Shilole
.Country Boy (kushoto) na Bill Nas wakitoa burudani ya nguvu
.Country Boy
Bill Nas
Mwimbaji Nandy
Madee
Nikki wa Pili
Joh Makini
.G Nako
.Msami akitoa burudani ya nguvu
.Belle 9 akitoa burudani ya nguvu kwenye usiku wa Malkia wa Nguvu
.
.
.
.
.
.Madee akiwa na team nzima kutoka Clouds Media Group
.Dj Zero (kushoto) akiwa na Julio
Mtangazaji Mami Baby na Dj Senyorita
.Dayna Nyange akiwa na Chege kwenye usiku wa Malkia wa Nguvu
.
.
.Madee akiwa na Dj Zero wa XXL ya Clouds FM
Comments