Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Nape Nnauye anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari katika Hoteli ya Protea Oysterbay Dar es Salaam.
Rais John Magufuli, leo amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri, kwa kumtosa Nape na wizara hiyo kumpatia Dk. Harrison Mwakyembe aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria nafasi ambayo imechukuliwa na
Nape jana amepokea ripoti ya Kamati aliyoiunda ya kuchunguza uvamizi wa Makonda katika Kituo cha Clouds Media Group, ambapo aliahidi kuiwasilisha kwa wakubwa wake, ambao ni Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na Rais.
Rais John Magufuli, leo amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri, kwa kumtosa Nape na wizara hiyo kumpatia Dk. Harrison Mwakyembe aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria nafasi ambayo imechukuliwa na
Nape jana amepokea ripoti ya Kamati aliyoiunda ya kuchunguza uvamizi wa Makonda katika Kituo cha Clouds Media Group, ambapo aliahidi kuiwasilisha kwa wakubwa wake, ambao ni Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na Rais.
Comments