Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mchezaji wa Kimataifa wa wa Timu ya KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta akishangilia pamoja na mchezaji mwenzie anayechezea timu ya Deportivo Tenerife ya Hispania Farid Mussa wakati wa mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya timu ya Taifa ya Botswana kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo. Samatta alifunga mabao yote mawili. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
Samatta akimtoka mchezaji wa Botswana
Kukuru kakara za kuwania mpira
Samatta akishangilia usindi
mashabiki wakishangilia ushindi wa Taifa Stars
Smatta akiandamwa
Samatta akimtoka mchezaji wa Botswana
Kukuru kakara za kuwania mpira
Samatta akishangilia usindi
mashabiki wakishangilia ushindi wa Taifa Stars
Smatta akiandamwa
Comments