Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza wakati
wa hafla ya kupokea ripoti ya kamati ya kwanza ya iliyoiunda kwa ajili ya
kuchunguza kiwango cha madini kilichopo kwenye mchanga wa madini (Makinikia) uliokamatwa
katika bandari ya Dar es Salaam ukiwa katika makontena 277 tayari kwa
kusafirishwa nje ya nchi. Kutoka kulia ni Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu
Hassan na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Mhandisi John Kijazi.
:
Mwenyekiti wa Kamati ya kwanza ya Wataalam wa Jiolojia iliyoiundwa kwa ajili ya
kuchunguza kiwango na aina ya madini yaliyopo
kwenye mchanga wa madini (Makinikia), Profesa Abdulkarim Hamis Mruma
akiwasilisha ripoti yao mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli (hayupo pichani) wakati hafla ya kuwasilisha ripoti hiyo
Ikulu jijini Dar es Salaam leo. Kamati hiyo ya watu wanane iliundwa kufuatia
kukamatwa kwa makontena 277 yakiwa na mchanga huo katika bandari ya Dar es
Salaam tayari kwa kusafirishwa nje ya nchi. Kutoka kulia ni Makamu wa Rais Mama
Samia Suluhu Hassan na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Mhandisi John Kijazi.
:
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea ripoti
kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya kwanza ya Wataalam wa Jiolojia iliyoiundwa
kwa ajili ya kuchunguza kiwango na aina ya madini yaliyopo kwenye mchanga wa madini
(Makinikia), Profesa Abdulmalik Mruma katika hafla iliyofanyika leo Ikulu
Jijini Dar es Salaam. Kamati hiyo iliundwa kufuatia kukamatwa kwa makontena 277
yakiwa na mchanga huo katika bandari ya Dar es Salaam tayari kwa kusafirishwa
nje ya nchi. Kutoka kulia ni Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akipitia ripoti ya Kamati ya kwanza ya Wataalam wa Jiolojia
iliyoiundwa kwa ajili ya kuchunguza kiwango na aina ya madini yaliyopo kwenye mchanga wa madini (Makinikia)
Wajumbe wa Kamati ya Kwanza ya Wataalam wa Jiolojia iliyoiundwa kwa ajili ya kuchunguza kiwango na aina ya madini yaliyopo kwenye mchanga wa madini (Makinikia) wakiwa tayari kwa kuwasilisha ripoti yao katika hafla iliyofanyika Ikulu leo Jijini Dar es Salaam. Kamati hiyo iliundwa tarehe 29 Machi 2017, kufuatia kukamatwa kwa makontena 277 yakiwa na mchanga huo katika bandari ya Dar es Salaam tayari kwa kusafirishwa nje ya nchi. Wajumbe wa Kamati hiyo iliyoongozwa na Mwenyekiti wake Profesa Abdulkarim Hamis Mruma, wengine ni Profesa Justianian Rwezaura Ikingula, Profesa Joseph Bushweshaiga, Dk Yusuf Ngenya, Dk Joseph Yoweza Philip, Dk Ambrose Itika, Mohamed Zengo Makongoro na Hery Issa Gombela.
Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania – JWTZ, (CDF) Venance Mabeyo akiteta jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji George Masaju alipokutana nao katika hafla ya kukabidhi ripoti ya Kamati ya kwanza ya Wataalam wa Jiolojia iliyoiundwa kwa ajili ya kuchunguza kiwango na aina ya madini yaliyopo kwenye mchanga wa madini (Makinikia) Ikulu Jijini Dar es Salam leo.
Wasanii wa Kundi la Tanzania All Stars wakitumbuiza wimbo wa kuhamasisha uzalendo wakati wa hafla ya kukabidhi ripoti ya Kamati ya kwanza ya Wataalam wa Jiolojia iliyoiundwa kwa ajili ya kuchunguza kiwango na aina ya madini yaliyopo kwenye mchanga wa madini (Makinikia) Ikulu Jijini Dar es Salam leo.
Wajumbe wa Kamati ya Kwanza ya Wataalam wa Jiolojia iliyoiundwa kwa ajili ya kuchunguza kiwango na aina ya madini yaliyopo kwenye mchanga wa madini (Makinikia) wakiwa tayari kwa kuwasilisha ripoti yao katika hafla iliyofanyika Ikulu leo Jijini Dar es Salaam. Kamati hiyo iliundwa tarehe 29 Machi 2017, kufuatia kukamatwa kwa makontena 277 yakiwa na mchanga huo katika bandari ya Dar es Salaam tayari kwa kusafirishwa nje ya nchi. Wajumbe wa Kamati hiyo iliyoongozwa na Mwenyekiti wake Profesa Abdulkarim Hamis Mruma, wengine ni Profesa Justianian Rwezaura Ikingula, Profesa Joseph Bushweshaiga, Dk Yusuf Ngenya, Dk Joseph Yoweza Philip, Dk Ambrose Itika, Mohamed Zengo Makongoro na Hery Issa Gombela.
Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania – JWTZ, (CDF) Venance Mabeyo akiteta jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji George Masaju alipokutana nao katika hafla ya kukabidhi ripoti ya Kamati ya kwanza ya Wataalam wa Jiolojia iliyoiundwa kwa ajili ya kuchunguza kiwango na aina ya madini yaliyopo kwenye mchanga wa madini (Makinikia) Ikulu Jijini Dar es Salam leo.
Wasanii wa Kundi la Tanzania All Stars wakitumbuiza wimbo wa kuhamasisha uzalendo wakati wa hafla ya kukabidhi ripoti ya Kamati ya kwanza ya Wataalam wa Jiolojia iliyoiundwa kwa ajili ya kuchunguza kiwango na aina ya madini yaliyopo kwenye mchanga wa madini (Makinikia) Ikulu Jijini Dar es Salam leo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Magufuli akiwa katika picha
ya pamoja na wajumbe wa Kamati ya Kamati ya kwanza ya Wataalam wa Jiolojia
iliyoiundwa kwa ajili ya kuchunguza kiwango na aina ya madini yaliyopo kwenye mchanga wa madini (Makinikia)
Ikulu Jijini Dar es Salam leo. Kamati hiyo iliundwa tarehe 29 Machi 2017,
kufuatia kukamatwa kwa makontena 277 yakiwa na mchanga huo katika bandari ya
Dar es Salaam tayari kwa kusafirishwa nje ya nchi.
Picha
na: Frank Shija - MAELEZO
Comments