SERENA WILLIAMS AKIFURAHIA MIMBA YAKE

 Ikiwa sasa inakaribia mwezi tangu tujue kuwa mchezaji tennisi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake Serena Williams ana ujauzito,na kuamua kukatisha mchezo wake wa tennis kwa muda mpaka ajifungue.
Mwanadada huyo mwenye miaka 35 anategemea kupata mtoto wake wa kwanza na mchumba wake Alexis Ohanian,ameamua kupost picha zake akiwa katika vazi jeusi la beach maeneo ya Marina Bay,kupitia akaundi yake ya Instagrama.



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI