Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), Hiiti Sillo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu matokeo ya ufuatiliaji wa ubora wa dawa katika soko pamoja na ukaguzi wa machinjio Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja wa TDFA Kanda ya Mashariki, Emmanuel Alphonce na Kissa Mwamwitwa Meneja Majaribio na Usalama wa Dawa wa mamlaka hiyo. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), Hiiti Sillo akifafanua jambo wakati wa mkutano huo
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), Hiiti Sillo akifafanua jambo wakati wa mkutano huo
Comments