Hatimaye Baba Mzazi wa Jose Mourinho Azikwa Kwao Setubal


 
Hatimaye baba mzazi wa Kocha Mkuu wa Manchester United, Jose Mourinho mzee Felix Mourinho amezikwa nyumbani kwao Setubal nchini Ureno.

 
Felix Mourinho aliigua kwa siku kadhaa kabla ya kupoteza maisha akiwa na umri wa miaka 79.
Leo amezikwa mjini Setubal nchini Ureno na Mourinho amesafiri kutoka Manchester, England hadi Ureno kushiriki mazishi.
 Mourinho aliungana na mkewe na watoto wake wawili kushiriki mazishi ya Felix.
Tupia Comment Yako, Matusi Hapana

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.