Hekaheka ya mwanamke aliyeiba mtoto na kumbadilisha jina

Baada ya June 6, 2017 kupitia Hekaheka ya Leo Tena ya Clouds FM kuripotiwa taarifa ya mwanamke mmoja Shinyanga kumuiba mtoto na kumbadilisha jina..story mpya leo June 7, 2017 kupitia Hekaheka pia mlezi halisi wa mtoto huyo amepatikana.
Mwanamke huyo anadaiwa kumuiba mtoto kutoka Mwanza na kumbadilisha jina kutoka Pascazia hadi Maria lakini mlezi wake amepatikana ambaye alisafiri kutoka Mwanza hadi Shinyanga kumfuata mtoto huyo huku wengi wakiwa na mashaka wakidai zimetumika nguvu za kishirikina kumuhamisha kutoka Mwanza hadi Shinyanga.
Bonyeza Play hapa chini kusikiliza Full Story….

HEKAHEKA: Mwanamke adaiwa kuiba mtoto na kumbadilisha jina Shinyanga

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI