WIKI hii imekuwa sapraiz baada ya mashabiki wengi wanaofuatilia ukurasa wetu wa FB kukata rufaa na kuomba muuza nyago huyu arudishwe kundini.
Sasa basi, washiriki waliopo kwa sasa ndiyo watakaoelekea katika fainali itakayofanyika Sikukuu ya Idd ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem.
Jibu ni rahisi, chukua simu yako, nenda kwenye sehemu ya kuandikia SMS kisha andika SHEPU acha nafasi ,andika namba ya mshiriki unayemtaka abaki na utume kwenda 15542. Hii ni kwa wateja wa VODACOM pekee.
Bado tunaendelea kupokea wadhamini katika shindano hili. Unachotakiwa kufanya ni kuwasiliana na mhariri kwa namba +255 713 133 633.
Comments