Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Kimataifa ya Feza wakiwa na furaha baada kushinda medali za dhahabu kwenye mashindano ya Genius Olympian yaliyofanyika hivi karibuni nchini Marekani. Kutoka kushoto ni Abdulrazak Juma Nkamia, Rashid Jakaya Kikwete na Abdallah Rubeya Alsaedy.
Wakiwa na bendera ya Taifa
Wakiwa pamoja na wanafunzi wenzao waliopata medali
Wakiwa na bendera ya Taifa
Wakiwa pamoja na wanafunzi wenzao waliopata medali
Comments