HAJIB ALIPOFANYIWA VIPIMO VYA AFYA LEO YANGA


Daktari wa tiba za Wanamichezo, Nassor Matuzya (kushoto) akimfanyia vipimo vya afya mshambuliaji mpya wa Yanga, Ibrahim Hajib Migomba leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam 
Hajib hakutokea katika kundi la awali la wachezaji wa Yanga kufanyiwa vipimo kabla ya kuanza maandalizi ya msimu mpya
Dk. Matuzya hapa anampima kiungo wa timu, Eammanuel Martin
Dk Matuzya hapa anampima kiungo mwingine wa timu hiyo, Geoffrey Mwashiuya 
Hapa Dk. Matuzya anazungumza na Nahodha wa timu hiyo, Nadir Haroub 'Cannavaro'

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.