PROFESA JAY: WAKONGWE NANYI OENI SASA



Joseph Haule ‘Profesa Jay na mkewe Grace Mgonjo.

WAKATI jana akiangusha pati ya kukata na shoka kwa wapigakura wake, Mbunge wa Mikumi (Chadema), Joseph Haule ‘Profesa Jay’ ambaye pia ni rapa mkali Bongo, amewataka mastaa wakongwe nao waoe kwani ndiyo Mungu anawapa baraka zaidi.

Profesa Jay ambaye hivi karibuni alifunga ndoa na mchumba’ke wa siku nyingi, Grace Mgonjo aliliambia Wikienda kuwa, kama wakongwe hao wameshajitathmini, wanawapenda na kuwaheshimu wenza wao, basi ni wakati wao sasa kukabidhi mapenzi yao mbele za Mungu.

“Nawasihi wakongwe ambao hawajaoa nao waoe kwani pale wanapokabidhi mapenzi yao mbele za Mungundipo baraka zaidi na neema za Mungu zinaambatana nao katika maisha yao yote kwa sababu ndoa ni furaha na amani pia,” alisema Jay.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.