WAZIRI MANYANYA AKABIDHI BENDERA KWA WANAFUNZI WABUNIFU WA ROBOTI WANAOKWENDA KUSHINDANA MAREKANI


 Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Stella Manyanya (Kulia) akionesha roboti iliyobuniwa na Wanafunzi wanaoenda kushiriki  mashindano ya kwanza ya Dunia kwa wanafunzi wanasayansi na wabunifu wa Roboti nchini Marekani hivi karibuni. (PICHA NA VENANCE NESTORY)
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Stella Manyanya (Kulia) akikabidhi Bendera ya Taifa kwa Wanafunzi wanaoenda kushiriki  mashindano ya kwanza ya Dunia kwa wanafunzi wanasayansi na wabunifu wa Roboti nchini Marekani hivi karibuni. (PICHA NA VENANCE NESTORY

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.