Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Benedict
Mashiba kuwa Balozi wa Tanzania nchini
Malawi, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Balozi
wa Tanzania nchini Malawi Benedict Mashiba akila kiapo cha uadilifu kwa
Viongozi mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu
wa Rais Samia Suluhu Hassan katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini
Malawi Benedict Mashiba mara baada ya tukio la uapisho Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Comments