SPORTPESA YAANZISHA PROMOSHENI YA RAFIKI BONUS YA KUMZAWADIA MTEJA ANAYEMSHAWISHI RAFIKI KUCHEZA JACKPOT
Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji wa Kampuni ya Sportpesa, Tarimba Abbas akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu promosheni mpya ya mtambulishe rafiki ya Rafiki Bonus ambapo mtambulishaji atapatiwa sh. 2,000.PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
Na Richard Mwaikenda
Kampuni ya SportPesa imeanzisha promosheni ya Mtambulishe Rafiki iitwayo Raifiki Bonus ambapo mtambulishaji atakuwa anajipatia zawadi ya Sh. 2000.
Promosheni hiyo imetangazwa na Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji wa kampuni hiyo, Tarimba Abbas jana katika Makao Makuu ya kampuni hiyo, Oysterbay Dar es Salaam.
Abbas amesema kuwa Mteja wa SportPesa ambaye tayari amekwisha jisajiri na kuanza
kucheza anachotakiwa ni kumtambulisha rafiki yake ambaye akijisajiri na kuanza kucheza,
aliyemtambulisha atajipatia bonus hiyo.
"SportPesa imekuja na Bonus ya Rafiki ikiwa ni njia ya kurudisha fadhila kwa wateja wetu.
Tunawafurahia wateja wetu, na tunajua kuwa wakiwa wakiwafundisha rafiki zao namna ya
kubashiri hivyo basi, nao tumewawekea utaratibu wa kunufaika kwa namna hiyo," alisema Abbas.
Mteja mpya anatakiwa kutuma neno KUBALI kisha kuandika namba ya simu ya aliyemtambulisha
katika jukwaa la kubashiri na kutakiwa kuweka ubashiri wake angalau mara moja katika michezo ya Jackpot.
Abbas akifafanua jambo wakati wa mkutano huo
Wanahabari wakiwa kazini
Na Richard Mwaikenda
Kampuni ya SportPesa imeanzisha promosheni ya Mtambulishe Rafiki iitwayo Raifiki Bonus ambapo mtambulishaji atakuwa anajipatia zawadi ya Sh. 2000.
Promosheni hiyo imetangazwa na Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji wa kampuni hiyo, Tarimba Abbas jana katika Makao Makuu ya kampuni hiyo, Oysterbay Dar es Salaam.
Abbas amesema kuwa Mteja wa SportPesa ambaye tayari amekwisha jisajiri na kuanza
kucheza anachotakiwa ni kumtambulisha rafiki yake ambaye akijisajiri na kuanza kucheza,
aliyemtambulisha atajipatia bonus hiyo.
"SportPesa imekuja na Bonus ya Rafiki ikiwa ni njia ya kurudisha fadhila kwa wateja wetu.
Tunawafurahia wateja wetu, na tunajua kuwa wakiwa wakiwafundisha rafiki zao namna ya
kubashiri hivyo basi, nao tumewawekea utaratibu wa kunufaika kwa namna hiyo," alisema Abbas.
Mteja mpya anatakiwa kutuma neno KUBALI kisha kuandika namba ya simu ya aliyemtambulisha
katika jukwaa la kubashiri na kutakiwa kuweka ubashiri wake angalau mara moja katika michezo ya Jackpot.
Abbas akifafanua jambo wakati wa mkutano huo
Wanahabari wakiwa kazini
Comments