Kamanda wa Kanda Maalum ya Mkoa wa Dar es
Salaam, Lazaro Mambosasa akizungumza na waandishi wa habari jana alipokuwa
akitoa taarifa za matukio mbalimbali yaliyotokea katika kanda hiyo. (PICHA NA
VENANCE NESTORY)
Kamanda wa Kanda Maalum ya Mkoa wa Dar es
Salaam, Lazaro Mambosasa akionesha moja ya siraha aina ya “Short Gun” wakati
akizungumza na waandishi wa habari jana. Siraha hiyo ilikamatwa wakati wa doria
hivi karibuni. (PICHA NA VENANCE NESTORY)
Kamanda wa Kanda Maalum ya Mkoa wa Dar es
Salaam, Lazaro Mambosasa akionesha siraha aina ya Bastola wakati akizungumza na
waandishi wa habari jana. Siraha hizo zilikamatwa wakati wa doria ya Askari
hivi karibuni. (PICHA NA VENANCE NESTORY)
Comments