Rais mstaafu Jakaya Kikwete, akishiriki maziko ya aliyekuwa Mpiga Picha wa Magazeti ya Serikali ya Daily News na Habari Leo, marehemu Athuman Hamis katika makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam leo. Wakati wa uhai wake Hamis aliwahi kuwa mpiga picha maalumu wa Mgombea urais wa CCM 2005, Jakaya Kikwete.
Marehemu Athuman Hamisi wakati wa uhai wake
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mpiga Picha wa Magazeti ya Daily News na Habari Leo, marehemu Athuman Hamis ulipokuwa ukiingizwa nyumbani kwake kutoka kusaliwa katika Msikiti, Sinza, Dar es Salaam leo.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
RC Makonda akisalimiana na aliyewahi kuwa Mhariri Mtendaji wa Daily News, Gabriel Nderumaki (kushoto) pamoja na Mhariri Mtendaji wa sasa, Dk. Jim Yonazi alipowasili kwenye msiba huo.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kulia) akimfariji kakake na marehemu, Athuman Hamis wakati wa msiba Sinza.
Waombolezaji ambao asilimia kubwa ni wanahabari wakiwa kwenye msiba wa mwanahabari mwenzao, Athuman Hamisi nyumbani kwa marehemu Sinza
Mmiliki wa Blog hii, Richard Mwaikenda (kulia) akiwa na waandishi wa habari wenzake waliohudhuria msiba wa marehemu Athuman Hamis.
Mmiliki wa Blog hii, Richard Mwaikenda (wa pili kulia) akiwa na waandishi wa habari wenzake waliohudhuria msiba wa marehemu Athuman Hamis.
RC Makonda (katikati) akizungumza na Kaka ya marehemu, Athuman Hamis, Dk. Msengi (kushoto) pamoja na Mhariri Mtendaji wa Daily News, Dk. Jim Yonazi.
.Mkuu wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Kinondoni, Solomon Mwangamilo akijadiliana jambo na Mpiga Picha za Habari, Khalfan Said wakati wa msiba wa marehemu Athuman Hamis.
Anicetus Mwessa (katikati) akijadilina jambo waandishi wa habari wenzie na Robert Hokororo (kushoto) na Hamisi (kulia)
RC Makonda akisalimiana na Benjamin Thomson 'Kasenyenda'
Mkuu wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Kinondoni, Solomon Mwangamilo akijadiliana jambo na Benjamin Thomson 'Kasenyenda' wakati wa msiba wa marehemu Athuman Hamis.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa na RC Makonda (katikati) wakiwa katika shughuli ya msiba wa marehemu Hamis
Marehemu Athuman Hamisi wakati wa uhai wake
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mpiga Picha wa Magazeti ya Daily News na Habari Leo, marehemu Athuman Hamis ulipokuwa ukiingizwa nyumbani kwake kutoka kusaliwa katika Msikiti, Sinza, Dar es Salaam leo.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kulia) akimfariji kakake na marehemu, Athuman Hamis wakati wa msiba Sinza.
Waombolezaji ambao asilimia kubwa ni wanahabari wakiwa kwenye msiba wa mwanahabari mwenzao, Athuman Hamisi nyumbani kwa marehemu Sinza
Mmiliki wa Blog hii, Richard Mwaikenda (kulia) akiwa na waandishi wa habari wenzake waliohudhuria msiba wa marehemu Athuman Hamis.
Mmiliki wa Blog hii, Richard Mwaikenda (wa pili kulia) akiwa na waandishi wa habari wenzake waliohudhuria msiba wa marehemu Athuman Hamis.
RC Makonda (katikati) akizungumza na Kaka ya marehemu, Athuman Hamis, Dk. Msengi (kushoto) pamoja na Mhariri Mtendaji wa Daily News, Dk. Jim Yonazi.
Anicetus Mwessa (katikati) akijadilina jambo waandishi wa habari wenzie na Robert Hokororo (kushoto) na Hamisi (kulia)
RC Makonda akisalimiana na Benjamin Thomson 'Kasenyenda'
Mkuu wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Kinondoni, Solomon Mwangamilo akijadiliana jambo na Benjamin Thomson 'Kasenyenda' wakati wa msiba wa marehemu Athuman Hamis.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa na RC Makonda (katikati) wakiwa katika shughuli ya msiba wa marehemu Hamis
Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Rodney akitoa salamu za rambirambi kwa marehemu Hamisi, Sinza Dar es Salaam |
Shughuli za maziko makaburi ya Kisutu |
Comments