Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh Harrison Mwakyembe leo hii ameunda kamati ngumi za kulipwa ya watu kumi na Tatu kwa ajili ya kuhakikisha mchezo huo unasimama vizuri hapa nchini na kuondokana na migogoro inayoendelea katika mchezo huo.
kamati hiyo inajumlisha watu wafuatao:
Emmanuel Saleh, Habibu Kinyogoli, Shomari Kimbau, Jafari Ndame, Joe Anea, Fike Wilson, Anthony Ruta, Juma Ndambile, Ally B Champion, Rashid Matumla,Dk Killaga M Killa, Yahya Pori na Karama Nyilawila.
Emmanuel Saleh, Habibu Kinyogoli, Shomari Kimbau, Jafari Ndame, Joe Anea, Fike Wilson, Anthony Ruta, Juma Ndambile, Ally B Champion, Rashid Matumla,Dk Killaga M Killa, Yahya Pori na Karama Nyilawila.
Comments