Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimpongeza Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage mara
baada ya kufungua kiwanda cha Sigara cha Mansoor Industries ltd
kilichopo chini ya leseni ya Phillip Morris Tanzania katika eneo la
Kingolwira mkoani Morogoro. Wa kwanza kushoto ni Meneja Mkuu wa Kiwanda
cha Phillip Morris Tanzania Dagmara Piasecka akipiga makofi, wengine
katika picha ni Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dkt. Steven Kebwe pamoja na
Mmiliki wa kiwanda cha Sigara Mansoor Shanif Hirani.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akikagua Tumbaku inayotumika katika utengenezaji wa Sigara hizo za
Marlboro mara baada kufungua kiwanda hicho cha Sigara mkoani Morogoro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiangalia mapakiti ya sigara hizo za Marlboro wakati akikagua utendaji
kazi wa shughuli mbalimbali za kiwanda hicho mara baada ya kukifungua.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiangalia mojawapo ya hatua katika utengenezaji wa Sigara mara baada ya
kufungua kiwanda hicho mkoani Morogoro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiangalia mojawapo ya vifungashio vya Sigara hizo kiwandani hapo mara
baada ya kukifungua.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwapungia mkono wananchi waliofika katika sherehe za ufunguzi wa
kiwanda cha Sigara cha Mansoor kilichopo Kingolwira mkoani Morogoro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Msanii mkongwe Selemani Msindi au Afande Selle mara
baada ya kuhutubia wananchi waliofika katika sherehe za ufunguzi wa
kiwanda cha Sigara cha Mansoor kilichopo Kingolwira mkoani Morogoro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimpongeza Msanii mkongwe wa Bongo flavour Selemani Msindi au Afande
Selle mara baada ya kutoa burudani ya mziki na kutangaza rasmi kuhamia
katika Chama cha Mapinduzi CCM katika sherehe za ufunguzi wa kiwanda cha
Sigara cha Mansoor kilichopo Kingolwira mkoani Morogoro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wananchi waliofika katika sherehe za ufunguzi wa kiwanda
cha Sigara cha Mansoor kilichopo Kingolwira mkoani Morogoro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Chifu Kingalu Mwanabanzi wa Kabila la Waluguru wa
Morogoro mara baada ya kumaliza kuzungumza na wananchi waliofika katika
kiwanda cha Sigara cha Mansoor kilichopo Kingolwira mkoani Morogoro.
Msanii
mkongwe wa Bongo flavour Selemani Msindi au Afande Selle akipongezwa na
baadhi ya wananchi mara baada ya kuimba wimbo wake wa Mimi ni Msanii
katika sherehe za ufunguzi wa kiwanda cha Sigara cha Mansoor mkoani
Morogoro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza jambo na Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dkt. Steven Kebwe mara
baada ya kuzindua kiwanda cha Sigara mkoani Morogoro.
Msanii
mkongwe wa Bongo flavour Selemani Msindi au Afande Selle akitumbuiza
katika sherehe za ufunguzi wa kiwanda cha Sigara mkoani Morogoro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimsalimia mfanyabiashara mdogo (Machinga) wa Mama Havintoshi ambaye
aliwasilisha kero yake ya kunyanyaswa wakati akifanya biashara zake
katika stendi ya daladala ya mjini Morogoro.
Mfanyabiashara
mdogo (Machinga) wa Mama Havintoshi ambaye aliwasilisha kero yake ya
kunyanyaswa wakati akifanya biashara zake katika stendi ya daladala ya
mjini Morogoro akichangiwa fedha na wadau mbalimbali mara baada ya kero
yake kupatiwa ufumbuzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza jambo na Mmiliki wa kiwanda hicho cha Sigara Mansoor Shanif
Hirani mara baada kufungua kiwanda hicho. PICHA NA IKULU.
Comments