AJALI ILIYOMUUA MKURUGENZI WA WILAYA YA KONGWA

 Imekuwa Jumapili mbaya kwangu kusikia taarifa za kifo chako brother tena kilichotokea kwa ajali mbaya mno! Nimekumbuka mengi tuliyofanya pamoja enzi za Utumishi wako wizarani, baadae ukiwa msaidizi wa Prof Mwandosya na hatimae kuteuliwa kwako kuwa Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya Kongwa! Hakika umetimiza safari yako kaka! Upumzike salama na kwa Aman Eng. Ngusa Izengo! R.I.PπŸ™πŸΌ @dndejembi @ Dar es Salaam, Tanzania

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.