KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI AWATEMBELEA WANANCHI JAMII YA WAHADZABE NA WATATOGA HUKO ESHKESH WILAYANI MBULU MKOA WA MANYARA
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi
akizungumza na wananchi wa jamii za Wahdzabe Watatoga na Wasukuma wakati
alipotembelea Kata ya Eshkesh kijiji cha Dumanga Yaeda Chini wilayani
Mbulu mkoa wa Manyara wakati alipozitembelea jamii hizo ili kuzungumza
nao kuhusu maisha yao pamoja na uhifazi wa tamaduni na mila zao ambao
unaweza kuwa Kivutio cha Utalii pia lakini pia kujua mahitaji yao ya
muhimu katika maisha ya jamii hizo.(PICHA NA JOHN BUKUKU
FULLSHANGWE-MBULU)
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi
akizungumza na wananchi wa jamii za Wahdzabe Watatoga na Wasukuma wakati
alipotembelea Kata ya Eshkesh kijiji cha Dumanga kutoka kulia ni Gesso
Bajuta diwani wa kata ya Endamilay wilayani Mbulu., Kaimu Mkurugenzi wa
Utamaduzi Wizara ya habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi Beleko na
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Bw. Hudson Kamoga.
Wananchi wa Eshkesh Jamii ya Watatoga wakiwa katika mkutano huo.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Bw. Hudson Kamoga akizungumza katika mkutano huo.
Gesso Bajuta diwani wa kata ya Endamilay wilayani Mbulu akizungumza katika mkutano huo.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi
akimtunza mmoja wa vijana aliyekuwa akicheza ngoma ya kisukuma katika
mkutano huo.
Mmoja wa vijana wapiga ngoma akipiga ngoma kwa mbwembwe wakati kikundi cha ngoma ya kisukuma kikitumbuiza.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi
akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu Bw.
Hudson Kamoga.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan katikati na
Kaimu Mkurugenzi wa Utamaduni Wizara ya Habari Sanaa na Utamaduni Bi.
Liliano Beleko wa pili kutoka kushoto wakicheza ngoma na akina mama wa
jamiii ya Wahadzabe katika kijiji cha Dumanga.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi akimpa
pole mama aliyejifungua na kupoteza manaye alifariki baada ya kuzaliw.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi
akizungumza na Mmoja wa akina mama wa kihazabe nyumbani kwake Jamii ya
Wahadzabe wananawake ndiyo wanaojenga nyumba kazi ya wanaume ni kuwinda
wanyama na kurina asali pamoja na kutafuta mizizi kwa ajili ya chakula.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi akitoka katika moja ya nyumba ya familia ya kihdzabe.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi
akifurahia jambo baada ya kuvaliswa zawadi ya mkanda uliotengenezwa kwa
Shanga na Bi.Chrstina Paulo mama wa jamii ya Kihadzabe.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi
akivishwa mkanda uliotengenezwa kwa Shanga na Bi.Chrstina Paulo mama wa
jamii ya Kihadzabe.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi na
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu wakikimbia na akina mama wa
Kihadzabe huku wakiimba kuelekea eneo la makazi yao mara baada ya
kupokelewa.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi na
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu wakicheza na akina mama wa
Kihadzabe huku wakiimba kuelekea eneo la makazi yao mara baada ya
kupokelewa.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi na
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu wakipokelewa na wananchi wa
Dumanga wa jamii ya Kitatoga mara baada ya kuwasili kijijini hapo.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi na
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu wakipokelewa na ngoma ya
akina mama wa Kihadzabe
Vijana wa Kitatoga wakiimba katika mapokezi hayo.
Comments