MKIKITA YATOA MSAADA KILO 1700 ZA UNGA WA MUHOGO KWA KITUO CHA YATIMA CHA HOCET


 Mwenyekiti wa Bodi ya Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania (Mkikita), Dk. Kissui Steven Kissui (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha kulelea Watoto Yatima cha HOCET, Hezekia Mwalugaja mfuko wa unga wa muhogo ikiwa ni sehemu ya tani 1.7 za unga huo unaozalishwa na Mkikita. Unga huo una thamani ya sh. mil. 3.3. Hafla hiyo imefanyika leo Makao Makuu ya Mkikita, Dar es Salaam.Anayeshuhudia katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mkikita, Adam Ngamange na baadhi ya Yatima wanaosomeshwa na kituo hicho kwenye shule. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA;0715264202,0689425467
 Mwenyekiti wa Bodi ya Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania (Mkikita), Dk. Kissui Steven Kissui (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha kulelea Watoto Yatima cha HOCET, Hezekia Mwalugaja mfuko wa unga wa muhogo ikiwa ni sehemu ya tani 1.7 za unga huo unaozalishwa na Mkikita. Unga huo una thamani ya sh. mil. 3.3. Hafla hiyo imefanyika leo Makao Makuu ya Mkikita, Dar es Salaam.
 Mwalugaja akiwashukuru Adama Ngamange na Dk. Kissui kwa msaada huo.
 Meneja Uhusiano wa Mkikita, Neema Ngowi akielezea sababu zilizoifanya Mkikita kutoa msaada huo, ikiwemo kumshukuru Mungu kwa kuwawezesha kuanza kuzalisha unga huo.
 Ngamange akiwa na baadhi ya Yatima wa Kituo cha Hocet ambao pia waliimba wimbo wa kuishukuru Mkikita kwa msaada huo.
 Baadhi ya maofisa wa Mkikita
 Hamida Shabaan wa Hocet akitoa shukrani kwa niaba ya yatima wenzie
Baadhi ya maofisa wa Mkikita wakiwa na jamii ya Hocet

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.