PICHA 2: Hatimae Neymar amerudi Ufaransa


Staa wa timu ya taifa ya Brazil anayecheza club ya Paris Stain Germain ya Ufaransa Neymar baada ya kuchukua headlines wiki kadhaa zilizopita kutokana na kutoonekana wakati wa game ya PSG na Monaco ya kutangaza Ubingwa wa Ligue One sasa amerejea.
Neymar amerejea Ufaransa baada ya kufanyiwa upasuaji wa mguu wake mwezi March nyumbani kwao Brazil na alikuwa anategemewa kuwa atarejea uwanjani wakati wa fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi lakini kuna tetesi kuwa anaweza kuichezea PSGkabla ya msimu kumalizika.
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Neymar alichukua headlines wiki kadhaa zilizopita baada ya kutoonekana siku ya PSG wakitangazwa kuchukua Ubingwa na yeye akiwa kwao Brazil kitendo ambacho kilitafsiriwa na baadhi ya watu kama dharau.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.