Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara linaongozwa na Mbunge mahiri Profesa Sospeter Muhongo ambaye yuko mstari wa mbele kuhamasisha wananchi kushiriki katika shughuli mbalimbali za maendeleo bila kusahau michezo na burudani za kila aina zikiwemo ngoma za utamaduni na kupiga makasia.
Mwaka huu imekuwa bahati mbaya mashindano ya burudani hizo yameahirishwa kutokana na uwepo wa janga la COVID-19.
Timu ya Mpira ya Wasaga ya Kijiji cha Kasoma, Kata Nyamrandirira ilikaribia sana kufuzu kucheza MPIRA LIGI YA KWANZA
Mdau,tafadhali sikiliza/angalia "VIDEO CLIPS" za baadhi burudani zitolewazo jimboni humo.
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz
Comments