DKT MPANGO AIPONGEZA WIZARA YA ELIMU, AWAKABIDHI MAMILIONI WABUNIFU

 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akikabidhi mfano wa hundi zenye mamilioni ya fedha kwa washindi wa ubunifu wakati wa hafla ya kufunga rasmi Maonesho ya Wiki ya Ubunifu/MAKISATU kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini  Dodoma leo Mei 19, 2022.
Maonesho hayo yameandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na wadau mbalimbali. Hafla hiyo imehudhuriwa pia na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kushoto) na Waziri wa wizara hiyo, Profesa Adolf Mkenda (kulia).



Baadhi ya wabunifu waliopatiwa tuzo wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais, Dkt Mpango, Waziri Mkuu Majaliwa  pamoja na viongozi wengine.

 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI