WAZIRI MKUU MGENI RASMI KONGAMANO LA KUMBUKIZI YA BABA WA TAIFA HAYATI JULIUS NYERERE+video


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kumbukizi ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere linalofanyika leo kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

PICHANI; Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano hilo, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Hayati Nyerere Mkoa wa Dodoma, Peter Mavunde akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu maandalizi ya kongamano. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Taasisi hiyo, Neema Mkwachu na Anna Khamis Katibu wa Taasisi Mkoa wa Dodoma. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mavunde akizungumzia maandalizi hayo....
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI