ASKOFU CHANDE AFANIKISHA KONGAMANO KUBWA LA WANAWAKE MASHUJAA



Askofu Dkt Evance Chande  Kanisa la Karmeli Assembilies Off God  (KAG) la Ipagala jijini Dodoma akitoa neno la utangulizi wakati wa Kongamano  Kubwa la Wanawake  Mashujaa wa lilofanyika kanisani hapo Machi 26, 2024.

Kongamano hilo lililohudhuriwa na wanawake na wanaume wa dini tofauti lilihusu mafunzo ya Malezi ya Watoto,Ndoa na Nyumba, Afya ya Akili, somo la mapishi, Wajane, Ujasiriamali na Utumishi katika Kazi ya Mungu. 
Mtalaam wa Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto, Benedict Missani



Sehemu ya wanawake waliohudhuria kongamano hilo






IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA



 

IMEANDALIWA NA 
RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI