Askofu Dkt Evance Chande Kanisa la Karmeli Assembilies Off God (KAG) la Ipagala jijini Dodoma akitoa neno la utangulizi wakati wa Kongamano Kubwa la Wanawake Mashujaa wa lilofanyika kanisani hapo Machi 26, 2024.
Kongamano hilo lililohudhuriwa na wanawake na wanaume wa dini tofauti lilihusu mafunzo ya Malezi ya Watoto,Ndoa na Nyumba, Afya ya Akili, somo la mapishi, Wajane, Ujasiriamali na Utumishi katika Kazi ya Mungu.
Mtalaam wa Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto, Benedict Missani
Sehemu ya wanawake waliohudhuria kongamano hilo
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
IMEANDALIWA NA
RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203
Comments