MWAMUZI Abongile Tom ameteuliwa kusimamia mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Mabingwa watetezi wa CAFCL, Al Ahly ya Misri.
Tom (32) raia wa Afrika Kusini atakuwa katikati ya dimba la Benjamin Mkapa kwenye mchezo huo wa Mkondo wa kwanza robo fainali utakaochezwa Ijumaa Machi 29, majira ya saa 3:00 usiku.
Comments