Jumamosi Machi 16, 2024 Mwenyekiti wa Kamati ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo Mh. Deo Mwanyika akiwa na baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo katika matukio mbalimbali alipohudhuria maadhimisho ya siku 365 za Mama SSH kwenye sekta ya kilimo yaliyofanyika Ukumbi wa Mlimani City, Dares Salaam. Shughuli hiyo iliambatana na futari iliyoandaliwa na Mh Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe.
Vilevile vijana 10 vya vyuo vikuu walioshinda katika maandiko yaliyotoa suluhisho katika changamoto mbalimbali za kilimo walizawadiwa vyeti na fedha.
Comments