Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika
Ikulu Dar es Salaam 24 Machi, 2024.
Baadhi ya Mawaziri wakipitia makabrasha na
nyaraka mbalimbali wakati wa Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichoongozwa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Jijini
Dar es Salaam Machi, 24. 2024.
Comments