SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY


 "Sisi kama Serikali tumeweka mkakati wa kuchunguza shabiki yoyote Wakitanzania ambaye atakaye kwenda kinyume na uzalendo kuelekea mechi za CAFCL za Yanga na Simba"


"Tukikuona umevaa jezi ya Mamelodi au Al Ahly tutakuchunguza na kukuchukulia hatua za kisheria vile inastahiki".

- Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa UtamaduniSanaa na Michezo la Wananchi Newspapers in Twitter (X)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI