...π£️ ππππΏπ AππππππΌ ππΌπππππΏπ ππππΏππππ πΌππΌππππΌ πππΌ πππΌππΌ.
Skudu ambaye aliitumikia klabu ya Mamelodi Sundowns 2010/11 amesema yafuatayo ;
"Nimekuwa nikifatilia taarifa kutoka nyumbani Afrika Kusini πΏπ¦ na nimeona hata Mamelodi Sundowns wana hofu na Yanga tofauti na jinsi baadhi ya watu wa huku (Tanzania) wanavyoichukulia Yanga Kuelekea mechi hiyo"
"Kutokana na mabadiliko yao makubwa ya hivi karibuni na ubora mkubwa uliopo, huku bahati nzuri tuna uongozi imara, benchi kubwa la ufundi, kikosi kizuri na kubwa zaidi mashabiki wengi wanaotuunga mkono kwa kila mechi, vitu vinavyoitisha Mamelodi kukosa usingizi"
"Naamini kabisa tutashinda uwanja wa nyumbani kwa kishindo na sio kwa kubahatisha, tunajulikana uwezo wetu wa kubadilisha mchezo hivyo mashabiki wasihofu, tutakwenda kuwashangaza kwani kila kinachoendelea kule (Afrika kusini) nimekuwa nikishea na wenzangu pamoja na benchi la ufundi .. Tunaifatilia (Mamelodi) kwelikweli"
©️ Skudu Makudubela
Comments