Anaandika Goodlisten Chicharito✍πΎ
✋πππππππΌ πππππππΌ πππΌππππΌ 5
Iko hivi, Tanzania hakuna timu yenye uwezo wa KUPISHANA na Yanga kwa sasa, timu zote zilizoleta kiburi na kukosa heshima msimu huu zimepigwa kama ngoma π₯
◉ Yanga 5 - 0 KMC
◉ Yanga 5 - 0 JKT Tanzania
◉ Yanga 5 - 1 ASAS π©π―
◉ Yanga 5 - 1 Simba SC
◉ Yanga 5 - 0 Jamhuri
◉ Yanga 5 - 1 Hausing Fc
◉ Yanga 5 - 0 Polisi Tanzania
◉ Yanga 5 - 0 Ihefu.
Timu zingine zilizojaribu kuleta kiburi ziliadhibiwa pia.. Baadhi yao ;
◉ Yanga 4 - 0 CR Belouizdad π©πΏ
◉ Yanga 3 - 0 Medeama π¬π
◉ Yanga 2 - 0 Azam FC (Ngao)
◉ Yanga 3 - 2 Azam FC
◉ Yanga 2 - 0 Singida
◉ Yanga 4 - 1 Mtibwa sugar
◉ Yanga 3 - 0 KMC
◉ Yanga 3 - 0 Geita gold
Etc...
Mpaka sasa hakuna timu iliyomzidi Yanga kwa umiliki wa Mpira katika timu zote alizocheza nazo Tanzania.
Nini maana yake ?!
Timu zilizokubali kuwa watumwa, kuwa hazina uwezo wa kupishana na Yanga zikapaki basi watu (10) golini ndizo zilizopata kipigo kidogo. HONGERA yao ππ
◉ 1 - 0 Namungo
◉ 2 - 1 Mashujaa
◉ 1 - 0 Dodoma jiji
◉ 0 - 0 Kagera sugar
Note ; Yanga imekuwa timu ya 1 Tanzania kushinda magoli (5) katika kila mchezo kwenye michezo (8) ndani ya msimu 1 π
Wewe timu yako haijapigwa (5) na Yanga msimu huu ?! HONGERA π
Comments