REDDS KUANDAA BONANZA LA WAREMBO NA WANAHABARI WANAWAKE

Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Fimbo Butallah (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya bonanza la michezo litakalowashirikisha warembo watakaoshiriki Redd's Miss Temeke, Ilala na Kinondoni pamoja na waandishi wa habari za michezo wanawake, Jumamosi, kwenye ufukwe wa mbalambweni, Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mratibu wa Miss Ilala, Jackson Kalikumtima na Boi George ambaye ni mratibu wa Miss Kinondoni.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA