KASHESHE DAR, NGUZO 22 ZA UMEME ZAANGUKA KWA UPEPO

Wakazi wa Jiji  wakiangalia daladala namba T 195 BRV, lililopata ajali ya kuangukiwa na nguzo ya umeme maeneo ya Kipawa, Barabara ya Nyerere, Dar es Salaam leo. Katika ajali hiyo iliyohusisha daladala zingine mbili namba  T 808 AEZ na T 403 BSH,  watu wanne walijeruhiwa na nguzo 22 zilianguka kuanzia JET hadi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, kutokana na  upepo mkali

                                           Daladala zikiwa zimezingirwa na nya za umeme

                         Moja ya nguzo iliyoanguka ikionekana dhahiri jinsi ilivyokuwa imeoza chini
                                            Mkazi wa Jiji akipita chini ya nyaza za umeme

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO