BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE


 Bodi ya ligi kuu nchini Tanzania (TPLB) chini ya mwenyekiti wake Steven Mguto imeiomba klabu ya Young Africans Sports Club kusitisha harakati za kufungua kesi katika mahakama ya masuala ya soka duniani CAS kuhusu kuishitumu Bodi hiyo kwa kushindwa kusimamia vyema Sheria na kanuni za Ligi,

Bodi ya ligi inaomba klabu hiyo irudi mezani wakae kwa pamoja wamalize mzozo baina Yao Kwa busara na hekima,

Bodi ya ligi imekiri Kuna Makosa yalitokea katika kuahirisha Mchezo kinyume na taratibu lakini wanaomba yafanyike majadiliano ya kutafuta Suluhu kwa hekima na busara badala ya kanuni na Sheria,

Mpaka kufikia Sasa klabu ya Young Africans Sports Club bado haijatoa ripoti maalumu kuwa kama  wapo tayari kufanya majadiliano na Bodi ya ligi.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA