Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka (kushoto), akimkabidhi tuzo Meneja Usalama Mahala pa Kazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Renatus Nyanda, baada ya kampuni hiyo kushinda masuala ya usalama mahali pa kazi, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Afya na Usalama kazini duniani, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Naibu Waziri wa wizara hiyo, Dk. Makongoro Mahanga.
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka (kulia) akimpongeza , Renatus Nyanda kwa niaba ya TBL.
Meneja Usalama Mahala pa Kazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Renatus Nyanda (wa tatu kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Waziri Kabaka pamoja na baadhi ya washindi wa tuzo hizo.
HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO
AGE - 49 years LICENCE - UEFA Pro Licence TEAMS - Amora , Cova da Piedade , Sporting CP , Primiero de Agosto , Angola National Team & Young Africans ✍️🏽Falsafa ya Msingi ya Uchezaji Ni kocha anayeamini katika mpira wa akili( Intelligent Football ) usiotegemea nguvu au kasi tu bali ufahamu wa nafasi, mpangilio na uamuzi wa haraka wa matukio. 🎨 Mambo Makuu ya Falsafa yake 1- Balanced Tactical Football Kushambulia kwa mpangilio mzuri, kujenga mashambulizi kupitia pasi fupi na kutumia wachezaji wa pembeni kufanya quick transition. 2- Possession with Purpose Hapendi timu yake imiliki kwa takwimu tu bali kwa kutengeneza nafasi za maana na kimkakati. 3- Quick Transitions Timu zake zina uwezo mkubwa wa kugeuka kutoka kulinda hadi kushambulia ndani ya sekunde chache. 4- Structured Defense Timu iikiwa inazuia wachezaji wake wote wanashiriki kujilinda hata washambuliaji wana jukumu la kurudi nyuma pale wakati hawana mpira 5- Strategic Patience Hataki timu yake icheze kwa vurugu ili k...
RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA
Rais Joyce Banda aliapishwa kuwa Rais wa 4 wa Malawi tarehe 7 Aprili, 2012 baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika akiwa madarakani. Awali Rais Banda alikuwa Makamu wa Rais na kwa mujibu wa Katiba ya Malawi alitakiwa kuwa Rais baada ya kifo cha Rais aliyeko madarakani. Akiwa Makamu wa Rais, Joyce Banda alitengwa na Rais wake katika maamuzi makubwa na muhimu ya uendeshaji wa nchi. Inasemekana kutengwa kwake kulitokana pamoja na mambo mengine, kutofautiana na Rais Mutharika juu ya azma ya Rais Mutharika ya kumuandaa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Mheshimiwa Peter Mutharika kugombea urais wa Malawi baada ya yeye kumaliza muda wake. Kifo cha Rais Bingu wa Mutharika kilitibua mkakati huo wa kupokezana urais kifamilia. Waziri Peter Mutharika na genge lake wakiwemo maafisa waandamizi wa Serikali, na watu wao ndani ya Usalama wa Taifa na Polisi wakaanza mchakato wa kuzuia Makamu wa Rais Joyce Banda asiwe Rais. Mpango huo ulitibuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Majeshi wa Malawi, Jenerali He...
Hii ni Kampeni ndani ya Vitongoji vyote 374 vya Jimbo la Musoma Vijijini kuwafuata wapiga kura majumbani, kwenye vituo vya usafiri, senta za biashara, mialoni, vijiwe vya bodaboda,magenge ya mama lishe, n.k. Lengo la kuwafuata huko waliko ni kuendelea kueleza utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kila kijiji na vitongoji vyake kwa miaka mitano iliyopita na ile mitano ijayo (Ilani za Uchaguzi za CCM za 2020-2025 & 2025-2030), na Dira ya Maendeleo ya Taifa (2025 -2050) Vilevile, Timu yetu ya Kampeni ikiwajumuisha Viongozi kwenye Vitongoji hivyo 374, itahamasisha WAPIGA KURA wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura (tarehe 29 Okt 2025) na kuwachagua wagombea wote wa CCM wakiongozwa na Mgombea Urais Dkt Samia Suluhu Hassan, Mgombea Ubunge wa Jimbo letu na Wagombea Udiwani 21 wa kata zetu zote. Kazi na Utu, Tunasonga Mbele. Timu ya Kampeni CCM - Jimbo la Musoma Vijijini. Jumapili Okt 19, 2025.
26.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Simiyu lenye mita 150 pamoja na Barabara Unganishi. 27.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Sukuma lenye urefu wa mita 70 na barabara Unganishi km 4. 28.Ujenzi wa Kituo Cha Kanda Cha Uokoaji Ziwa Viktoria 29.Majengo ya Utawala ya Halmashauri eg Kwimba,Magu, Sengerema DC nk. 30.Ujenzi wa Uwanja Mpya wa Michezo "Tabasam" Sengerema pamoja na Kukarabati wa viwanja vya CCM kirumba na Nyamagana. 31.Mradi wa Maji Kisesa bln 49
IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA
Pacome Zouzoua alizaliwa tar 30 April 1997 nchini Ivory Coast ktk kitongoji cha Port. Hadi sasa ana umri wa miaka 26, ni kiungo wa kati mwenye uwezo wa kipekee anayetumia zaidi mguu wa kulia ktk kazi yake ya mpira. Alijiunga na Yanga tar 19 - 7 - 2023 majira ya saa 5 usiku akitokea ktk Club ya Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast. Ni mchezaji mkakamavu mwenye wepesi miguuni anapokuwana mpira, hujituma sana awapo uwanjani na inavyosemekana ni tofauti sana na awapo ktk mazoezi ya kujiandaa na mechi, lakini siku za mechi kila mara amekuwa moto zaidi nakuwa mkombozi kwa timu kwa kuinasua kimatokeo. Nitaendelea kumpatia maua yake siku zote atakazokuwa ndani ya Young African Sports Club. Pacome Zouzoua anaujuaaaaa.
BALOZI MIGIRO AKUTANA NA JOPO LA WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU WA UMOJA WA AFRIKA
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Mhe. Mokgweetsi Eric Kaebetswe Masisi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Botswana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika (AU). Mazungumzo yao yamehusu maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba 2025. Jopo la Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika lipo nchini kufuatilia hatua za maandalizi ya uchaguzi huu wa saba tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi miongo mitatu iliyopita.
Comments